Siku ya jana ilikuwa siku ya furaha kwa barcelona hasa kwa xavi na messi jana barcelona walicheza na sevilla kwenye muendelezo wa ligi kuu ya hispania barca ili shinda bao 2-0 huku xavi akitupia moja na messi akitupia la pili

  • Digg
  • Del.icio.us
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • RSS

0 comments:

Post a Comment

Designed by Mustapha E.Hanya +255 732 575 718.