ONGOZI wa Simba umekubali kuwa kweli upo tayari kumsajili kiungo nyota wa Azam FC, Mrisho Ngassa, lakini umesisitiza dau la dola 50,000 (zaidi ya Sh milioni 75) ni kubwa sana.
Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, ameliambia Championi Jumatano kuwa, Kocha Mkuu, Milovan Cirkovic, amekuwa akisisitiza kuhusu kumnasa Ngassa.
“Tatizo ni dau la Azam, tuliwahi kupata maelekezo ya kocha. Mara moja tukaenda Azam na kuwapa ofa yetu lakini wakakataa.
“Kweli tunamhitaji na kocha wetu amesisitiza anamhitaji lakini kiasi walichotangaza hakika kipo juu sana. Hatutaweza, ila wakipunguza tunaweza kufanya biashara,” alisema Kaburu.
Azam FC iliyoingia fainali ya michuano ya Kombe la Kagame ikiwa inashiriki kwa mara ya kwanza, imetangaza kumuweka sokoni Ngassa ambaye ilimnunua kutoka Yanga kwa kitita cha jumla ya Sh milioni 98.
Hivi karibuni, gazeti la Championi lilitoa picha za Ngassa akivaa na kuibusu jezi ya Yanga pia alishangilia bao lake dhidi ya AS Vita ya DR Congo na mashabiki wa Yanga.
Kitendo hicho kiliukasirisha uongozi wa Azam FC ambao umesisitiza kuwa, Ngassa ameonyesha hana mapenzi na klabu hiyo na anaweza ‘kusepa’.
simba yamsajili ngassa
simba ya sajili mabeki wawili
PAMOJA na kuwa katika hatua za mwisho kumsajili beki kisiki wa APR, Mbuyu Twite, uongozi wa Simba umeanza mazungumzo na beki mwingine ngangari, Gladys Bokese.
Twite au Bokese, mmoja wao ataziba pengo la Kelvin Yondani ambaye ametua Yanga na beki Lino Musombo aliyesajiliwa kutoka DC Motema Pembe ya DR Congo ameonekana kushindwa kukidhi mahitaji ya Simba.
Habari za uhakika kutoka ndani ya Simba zinaeleza, uongozi wa klabu hiyo umefanya mazungumzo na Twite ambaye pia anaichezea timu ya taifa ya Rwanda ‘Amavubi’ pamoja na Bokese aliyewahi kung’ara katika klabu ya DC Motema Pembe pamoja na Etoil du Sahel ya Tunisia.
“Wote tumefanya nao mazungumzo, inaonekana ni wachezaji ambao wanalingana viwango. Kitu kizuri kuhusiana nao ni kwamba, wana kasi, nguvu na ni wazuri kwa mipira ya juu.
“Tatizo lililoonekana ni uchezaji wa Musombo na Nyosso kuwa wa aina moja, hivyo tunahitaji mtu wa aina ya Bokese na Mbuyu,” kilieleza chanzo.
Kuhusiana na hilo, Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, alikiri kufanya mazungumzo na mabeki hao wawili.
“Kweli tumezungumza na Mbuyu na Bokese, lakini kuna mambo ya kumalizia. Yeyote kati yao atajiunga na Simba kabla dirisha la usajili halijafungwa,” alisema Kaburu.
Tatizo kubwa kwa Twite ambaye ni chaguo la Simba lilikuwa ni kuhusiana na pacha wa Mbuyu aitwaye Kabange Twite.
“Wote walitaka kuja pamoja lakini ingekuwa vigumu kwa Simba kwa kuwa sasa haihitaji kiungo wa ukabaji kwa kuwa tuna Mussa Mudde. Mwisho, Mbuyu ameelewa na amekubali kuja Simba,” kilieleza chanzo.
Mbuyu na Kabange wamekuwa wakihama pamoja kutoka timu moja kwenda nyingine, walitokea FC Lupopo ya DR Congo, wakajiunga na APR na baadaye kuchukua uraia wa Rwanda. Mwaka juzi, Mbuyu aligoma kwenda Ubelgiji baada ya klabu moja ya nchi hiyo kumtaka yeye tu na mdogo wake abaki Rwanda.
mshambuliaji wa simba sc ya tanzania ana asilimia 90 ya kufuzu majlibio yake malysia
Hali hiyo imefanya uongozi uanze kumsaka mrithi wake kwa kasi ya kimondo na tayari umefanya mazungumzo na viungo wengi ili mmoja wao azibe nafasi ya Mganda huyo aliyekuwa ‘dereva’ wa mashambulizi ya Simba.
Simba imefanya mazungumzo na Etekiama Taddy wa AS Vita Club ya DR Congo ambaye amekuwa mmoja wa wafungaji bora wa michuano ya Kombe la Kagame kwa kufunga mabao sita sawa na mshambuliaji wa Yanga, Said Bahanuzi.
Mwingine ni Allan Wanga, Mkenya anayekipiga katika klabu ya AFC Leopard ya Nairobi, Kenya, baada ya kurudishwa kwa mkopo na klabu ya Hoang Anh Gia Lai ya Vietnam. Wa tatu ni kiungo mwenye kasi wa timu ya taifa ya Uganda, Sula Matovu ambaye sasa ni tegemeo la ushambuliaji katika timu ya St George ya Ethiopia.
“Simba imefanya mazungumzo na viungo hao, wote wameonyesha nia ya kuja kuichezea. Ila kumekuwa na mambo kadhaa,” chanzo kilieleza.
“Simba wamepewa taarifa kwamba, Okwi anafanya vizuri sana, wakala wake ameiambia Simba ana takribani asilimia 90 za kufuzu.”
Championi Jumatano liliusaka uongozi wa Simba ambao ulikubali kwamba umefanya mazungumzo na viungo hao kwa nyakati tofauti.
“Kama Okwi ataondoka hatutakuwa na ujanja, lazima tuwe na mtu mwenye kasi. Video za wachezaji wawili, Wanga na Matovu, kocha ameziangalia na kukubaliana nazo, lakini yule wa AS Vita (Taddy) alimuona uwanjani,” alisema Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’.
“Matovu tutazungumza naye tena hivi karibuni, AS Vita pia wapo tayari kwa ajili ya mazungumzo. Pia tunapanga kuzungumza na ile klabu ya Vietnam (Hoang Anh) kuhusiana na Wanga. Tumeambiwa Okwi anafanya vizuri na matumaini ya kufuzu yapo, ila kikubwa tunaendelea kusubiri jibu la uhakika kutoka katika klabu yenyewe.
“Tumeambiwa litapatikana baada ya wiki moja au mbili. Rasmi ameanza tena majaribio jana (juzi) Jumatatu. Alisimama kwa wiki moja baada ya kuugua malaria na hicho ndicho kimechelewesha majibu ambayo huenda tungeyapata wiki iliyopita,” alisema Kaburu.
Simba ilishindwa kucheza katika kasi yake wakati wa michuano ya Kagame kutokana na kutokuwa na mwanzisha mashambulizi kama alivyokuwa akifanya Emmanuel Okwi.
gareth bale yupo fiti kuludi uwanjani
GARETH BALE could make a shock Spurs comeback — just hours before he should have been playing for Team GB.
The Wales star pulled out of Stuart Pearce’s 2012 squad with a back injury.Psycho’s Brits kick off their bid for gold against Senegal at Old Trafford tomorrow.
But Bale was set to feature for Tottenham in their US tour clash with LA Galaxy in the early hours of this morning.
Bale has suffered no recurrence of his back problem since arriving here with his team-mates after an 11-hour flight.
A Spurs insider said: “Gareth has looked very sharp in training and it would be no surprise if he got a run-out on the tour.”
Boss Andre Villas-Boas hinted that if Bale does not play against LA Galaxy, he is likely to play in their second tour game against Liverpool in Baltimore on Saturday.
AVB said: “We might need to field a different team in each half in the Baltimore game.”
henry anakalibisha mazungumzo na club ya arsenal upya
Henry’s Gunner be back

THIERRY HENRY is ready to hold talks with Arsene Wenger about his plans to return to Arsenal.
And the Gunners legend is refusing to rule out the possibility of another loan deal at the Emirates after his spell at the club early this year.Henry, 34, revealed last night: “I would like to go back to England with Arsenal for sure.
“I wasn’t planning to go back to play last season. It was only because Gervinho and Chamakh went to the African Nations Cup.
“I was there to train and they asked me if I wanted to play. Who knows what might happen in the future?
“I’ve not yet spoken to Arsene about it so I don’t know what capacity I could go back in.
“Coaching does interest me but I don’t know what my talent is going to be after I have finished my career. But I will go back to Arsenal.”
Henry still has another 18 months of his New York Red Bulls contract to run and will tonight lead the line for the MLS All-Stars against Chelsea.